Msanii M Rap alieamua kuondoka BHits baada ya mkataba wake kukamilika, 
ameachia wimbo mpya "Usiende Mbali" akiwa na Jux kupitia studio za AM na
 producer Bob Manecky.
Baada ya Pancho na Mwanasheria wake kuja Bills juma pili iliyopita (9 
March) na kumzuia ku-perfom nyimbo ambazo amezirecord akiwa chini ya 
lebo hiyo baada ya kuamua kuondoka katika lebo hiyo, M Rap aliamua 
kuingia studio na kukesha usiku mzima kurecord mpaka kukamilisha single 
ya kwanza chini ya studio za AM.
"Nilikuwa na hasira sana na stress ndio maana niliamua kuingia studio na kutengeneza wimbo huu nikiwa na jux"


No comments:
Post a Comment