
MTAYARISHAJI mkali wa ngoma ya My Number One ya Staa aliyechukua tuzo saba za Killi Music Awards Abdul Naseeb’Diamond Platinumz’amefunguka kuwa ameshindwaje kuchukua tuzo za mtayarishaji bora wa mwaka wakati ngoma aliyoitayarisha imechukua tuzo ya ngoma bora ya mwaka.

Kupitia
Account yake ya Instagram aliandika hivi.. Ndugu zangu watanzania
naomba nichukue nafasi hii kuwashukuru saana kwa wote walionipigia kura
na ata ambae hakunipigia kura ila kwa namna moja amechangia mimi kufika
hapa nilipo pia naomba niwashukuru radio na tv zoote ndani na nje ya
nchi ya TANZANIA. Sasa ndugu zangu hivi nitashindwa vp kuchukua tuzo ya
producer bora wa mwaka wakati nimetayarisha wimbo uliochukua tuzo ya
wimbo bora wa mwaka na ni wimbo ambao umemfanya Msanii @diamondplatnumz
aweze kuchukua tuzo zaidi ya 5 #ktma hii inaonesha kua muziki wetu
watanzania bado wanahitaji elimu ya kutosha ila sina maana mbaya hapana
lakini nawashukuru sana #ktma kwa kazi waliofanya pia nawashukuru
wasanii wote niliofanya nao kazi na ata wale wenye ndoto za kufanya kazi
na mimi. Hongera saana @diamondplatnumz kwani muziki wetu unakua pia
tusubiri tuzo za MTVBASE na Imani zitakuja nyumbani. Sina mengi ndugu
zangu watanzania nawapenda saana ...
Credit to cloudsfm.co
No comments:
Post a Comment