Hivi ndivyo kituo cha Daladala cha Mwenge kilivyo bomolewa asubuhi ya leo
 Ulinzi ukiwa umeimarishwa
 Kazi ya Kubomoa na kuondoa vibanda ikiwa inaendelea Mwenge
 Askari wa FFU akiwa anazuia watu wasipite eneo ambalo kulikuwa na kazi ya Bomoa bomoa ikiendelea
 Mashuhuda wakiwa wanashuhudia ubomoaji ukiendelea
 Hili lilikuwa eneo la kupumzikia zamani la Abiria kungoja usafiri nacho kikiwa kimebomolewa
 Mabaki ya Vibanda 
 Mmoja wa Mgambo akiwa amebeba Meza kupeleka eneo husika Tayari kwa kuzikusanya kuzipeleka eneo husika
 Kazi ya Ubebaji Meza na Mabaki ya Vibanda ikiendelea
 Mashuhuda wakiongezeka
 Moja ya eneo ndani ya Mwenge walipo hifadhi baadhi ya Meza za Biashara
 Bomoa Bomoa ikiendelea upande wa Juu Mwenge
 Hapa walikuwa wanabomoa Sehemu zote za vibanda zilivyo zidi mbele
 Mgambo anafanya kazi bila Air Mask wakati kazi inaendelea ya Bomoa bomoa
 Mashuhuda upande wa Juu Mwenge
 Ulinzi ukiwa umeimarishwa kila sehemu 
 Hapa
 ilitaka kutokea Shoti ya Umeme Baada ya gari la kubomoa kupita sehemu 
ambayo kuna waya wa umeme, TANESCO hawajazima umeme eneo hilo jambo 
ambalo ni Hatarishi.
Hali Halisi baada ya eneo hilo kubomolewa
Picha na Dar es salaam yetu Blog
No comments:
Post a Comment