![]() |
Adam Kuambiana |
Enzi za uhai wake Kuambiana alianza kujipatia umaarufu baada ya kuigiza filamu ya Fake Pastors na baada ya hapo kucheza filamu nyingi zilizompa umaarufu kabala ya kuanza kuwa director.
Tutawaletea updates zaidi kuhusu kifo cha Kuambiana ambacho ni pigo katika tasnia ya filamu nchini.
Adam Kuambiana
No comments:
Post a Comment