Msanii Lina akitoa zawadi kwa mkurugenzi wa Tanzania House of Talent(THT)Ruge Mutahaba katika hafla ya kumuaga msanii huyo kutoka chini ya THT na kuelekea kampuni ya No Fake Zone(NFZ)ambao ndiyo wanaanza kumsimamia msanii huyo iliyofanyika jana katika ofisi za THT,jijini Dar.




No comments:
Post a Comment