Askari mmoja wa kikosi cha usalama 
barabara ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja, amenusurika 
kufa baada ya kupata ajali akiwa anaendesha pikipiki ya polisi, ambayo 
ilikosa mwelekeo na kugongana uso kwa uso na gari dogo lenye namba za 
usajili T 681 CUX eneo la Bamaga Mikocheni jijini Dar es salaam.

pole sana kamanda
ReplyDelete